1 Chronicles 6:1-6

Wana Wa Lawi


1 aWana wa Lawi walikuwa:
Gershoni, Kohathi na Merari.

2 Wana wa Kohathi walikuwa:
Amramu, Ishari, Hebroni na Uzieli.

3 bAmramu alikuwa na wana:
Haruni, Musa, na Miriamu.
Haruni alikuwa na wana:
Nadabu, Abihu, Eleazari na Ithamari.

4 Eleazari akamzaa Finehasi,
Finehasi akamzaa Abishua,

5 Abishua akamzaa Buki,
Buki akamzaa Uzi,

6 Uzi akamzaa Zerahia,
Zerahia akamzaa Merayothi,
Copyright information for SwhKC